Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akikabidhi zawadi maalum kwa Mwenyekiti Mwanawake Initiative Foundation (MIF) Mhe. Wanu Hafidh Ameir mara baada ya kuzindua Programu ya Uongozi kwa Wanawake Vijana, iliyoandaliwa na Taasisi za Care International Tanzania pamoja na Mwanawake Initiative Foundation (MIF). Tukio hili limefanyika Februari 11, 2025 jijini Dar Es Salaam
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuelekea Siku ya Wanawake Duniani mwaka 2025 ameonesha kwa Umma sare ya kitenge itakayotumika katika maadhimisho hayo nchini.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwananidi Ali Khamis akijibu hoja mbalimbali za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara kwa nusu ya mwaka wa fedha 2024/25 mbele ya Kamati Januari 23, 2025 Bungeni jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara kwa nusu ya mwaka wa fedha 2024/25 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii Januari 23, 2025 Bungeni jijini Dodoma
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju akijibu hoja mbalimbali za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara kwa nusu ya mwaka wa fedha 2024/25 mbele ya Kamati Januari 23, 2025 Bungeni jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. akijibu hoja mbalimbali za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara kwa nusu ya mwaka wa fedha 2024/25 mbele ya Kamati hiyo Januari 23, 2025 Bungeni jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akijibu hoja mbalimbali za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara Januari 22, 2025 jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akijibu baadhi ya hoja kutoka kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakati Wizara ikiwasilisha taarifa yake ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara mbele ya Kamati hiyo Januari 22, 2025 jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Programu ya Tanzania ya Kikazi chenye Usawa (GEF) pamoja na taarifa ya utekelezaji ya mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF) mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii Januari 22, 2025 jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe (ambaye alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum) (kushoto) akikabidhi rasmi Ofisi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu (kulia). Makabidhiano hayo yamefanyika leo Januari 20, 2025 katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma baada ya mabadiliko yaliyofanywa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Januari 17, 2025.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

HABARI MPYA

KIGOMA YAPATA MWAROBAINI WA UKATILI WA KIJINSIA.
Na WMJJWM,Kigoma. Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Kigoma Elisante Mbwilo amewataka  Maafisa Maendeleo ya jamii, Maafisa Masoko, Wenyeviti wa Masoko, polisi na Wawakilishi kutoka Shirikisho la Umoja wa ...
13 Feb, 2025 Soma Zaidi
SERIKALI INATEKELEZA MIPANGO MINGI YA USAWA WA KIJINSIA: WAZIRI DKT. GWAJIMA
Na WMJJWM-Dar Es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima, amesema Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Has ...
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
KATAVI YAPATIWA MAFUNZO YA MWONGONZO WA MADAWATI YA JINSIA KUKABILI UKATILI SOKONI
Na WMJJWM, Katavi. Serikali yaendelea kuzindua madawati ya kupinga ukatili wa kijinsia Katika maeneo ya umma, hasa katika masoko ili kupunguza Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia ambavyo vimekuwa vikijit ...
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
NIMR YABUNI PROGRAMU YA SIMU INAYOSAIDIA KUBORESHA MALEZI YA WATOTO: WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA
Na WMJJWM - Mwanza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, ameipongeza Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuanzisha mfumo unaotumia ...
10 Feb, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani
6 Aug 2024
taarifa kwa umma kulaani udhalilishaji wa mwanamke
5 Aug 2024
taarifa kwa umma- uteuzi wa wajumbe wa kamati ya kitaifa ya kuratibu afua za kudhibiti na kuzuia watoto kuishi na kufanya kazi mitaani.
5 Aug 2024
taarifa kwa umma-shukrani kwa rais samia suluhu hassan kwa kukubali matumizi ya majengo ya world vision morogoro kuwa chuo cha maendeleo ya jamii

MATUKIO

Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani machi 8, 2025, arusha
Event Date : 11th Feb 2025 - 08th Mar 2025
maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani
Event Date : 06th Feb 2025 - 08th Feb 2025
siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji